Malengo Yetu Kwa Mawakala

Fahamu malengo ambayo mfumo wa WAKALA NAMI umeweka ili kuboresha na kukuza huduma za uwakala Tanzania.

Kufanya biashara kidigitali
Lengo #1

Kufanya biashara kidigitali

Kuipa sekta ya uwakala njia ya kutumia teknolojia kufanya biashara kwa urahisi, uwazi na kwa kasi bila kutegemea mfumo wa karatasi au simu za kawaida.

Kupanua mtandao wa mawakala
Lengo #2

Kupanua mtandao wa mawakala

Kujenga mtandao mpana wa mawakala wakuu na wadogo ili kuongeza upatikanaji wa huduma na kufikia maeneo mengi zaidi nchini.

Kukuza biashara ya uwakala
Lengo #3

Kukuza biashara ya uwakala

Kuwezesha mawakala kupata zana na huduma zinazorahisisha ukuaji wa biashara zao na kuongeza mapato kwa kuwahudumia wateja wengi zaidi.

Kuboresha huduma kwa wateja
Lengo #4

Kuboresha huduma kwa wateja

Kuhakikisha wateja wanapata huduma haraka, salama, na bila kukwama kutokana na upatikanaji wa float kwa wakati.

Kuongeza uwazi na uaminifu
Lengo #5

Kuongeza uwazi na uaminifu

Kutoa taarifa za miamala zinazoonekana papo hapo ili kupunguza makosa, migogoro na kuongeza uaminifu kati ya mawakala na wateja.

Kujenga mfumo salama na endelevu
Lengo #6

Kujenga mfumo salama na endelevu

Kuunda mazingira ya kidigitali yenye usalama wa juu, yanayowezesha biashara kuendelea bila vikwazo na kwa uadilifu.

✦ Unataka kuwasiliana nasi?

Tupo hapa
kukupa msaada.

Wasiliana nasi kwa maswali, maombi ya huduma, au usaidizi wowote unaohitaji katika shughuli zako za uwakala.